Wizara ya Viwanda na Biashara imeomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh110.9 bilioni kwa mwaka 2024-25

Wizara ya Viwanda na Uwekezaji imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya makadirio ya matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 Sh110.9 bilioni ili kufanikisha shughuli mbalimbali za wizara.

TASAC:Tumeanza kuchunguza chanzo cha meli kuzama ziwa Victoria

Uchunguzi huo utashirikisha wataalamu wabobezi wa masuala ya miundombinu ya meli, mitambo na mifumo ya uundaji wa meli.

Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 21, 2024

Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Mei 21, 2024

Kimbunga IALY kusababisha mvua, upepo kwa siku mbili Tanzania

TMA yasema wakazi wa mikoa ya pwani visiwa vya Unguja, Pemba na Mafia watakumbwa na hali mbaya ya hewa kwa siku mbili.

Bajeti Wizara ya Ulinzi yapaa kwa miaka minne mfululizo

Yafikia Sh3.3 trilioni kutoka Sh2.9 trilioni ya mwaka 2023/24.

Afya & Maisha

Burudani

Chati & Data

Maoni & Uchambuzi

NuktaFakti

  • Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’

    Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.

Safari