Jumanne, Mei 21, 2024
Wizara ya Viwanda na Uwekezaji imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya makadirio ya matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 Sh110.9 bilioni ili kufanikisha shughuli mbalimbali za wizara.
Uchunguzi huo utashirikisha wataalamu wabobezi wa masuala ya miundombinu ya meli, mitambo na mifumo ya uundaji wa meli.
Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Mei 21, 2024
TMA yasema wakazi wa mikoa ya pwani visiwa vya Unguja, Pemba na Mafia watakumbwa na hali mbaya ya hewa kwa siku mbili.
Yafikia Sh3.3 trilioni kutoka Sh2.9 trilioni ya mwaka 2023/24.
Ni pamoja na parachichi, mafuta ya samaki na mboga mboga.
Huenda timu ya Taifa ya Tanzania ikafanya vizuri katika ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inayotarajiwa kufanyika mwaka 2027 mara baada ya Serikali kuanisha mikakati ya kuinoa timu hiyo.
Mwenendo wa matumizi ya vyandarua vyenye dawa kwa watoto chini ya miaka mitano na wajawazito Tanzania kwa mwaka 2022
Ni pamoja na kuimarisha ustawi wa wanawake na kupunguza athari za kiafya. Wadau wa nishati waja na mpango kuongeza usawa wa nishati nchini.
Tanzania's recent strides in the mining sector, under the visionary leadership of President Dr. Samia Suluhu Hassan, have set a new standard for the African continent and beyond.
Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.
Scientists and local and international conservationists have sounded the alarm that the Lake Manyara tilapia population is fading due to overfishing and pollution
Yafikia 520,324 katika kipindi cha Januari hadi Machi 2024
Ni kutokana na kupungua kwa idadi ya wateja wanaopatikana majukwaa ya mtandaoni kupitia intaneti.