Bomoa bomoa Mwanza: zaidi ya 30 wakosa makazi

Ubomoaji huo umefanyika katika kiwanja namba 585 (PB) kitalu 'KK' kilichopo Nyakato jijini Mwanza.

Bajeti ya Muungano na Mazingira yapaa kwa Sh6.3 bilioni

Bajeti yafikia Sh45.7 kutoka Sh39.3 iliyoidhinishwa mwaka wa fedha 203/24.

Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Aprili 23, 2024

Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Aprili 23, 2024

Tamisemi yaomba kuidhinishiwa Sh10 trilioni mwaka wa fedha 2024-25

Bajeti yaongezeka kwa Sh981 bilioni. Fedha ya miradi ya maendeleo yapungua kwa zaidi ya Sh70 bilioni. Awaagiza wakuu wa mikoa kutekeleza vipaumbele saba ikiwemo ukusanyaji wa mapato.

Yafahamu malengo matatu ya ziara ya Rais Samia Uturuki

Ni pamoja na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kisiasa. Lengo la pili ni kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi. Rais Samia kukutana na wafanyabiashara 15 wakubwa kutoka Uturuki.

Afya & Maisha

Chati & Data

Maoni & Uchambuzi

NuktaFakti

  • Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’

    Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.

Safari