Tanzania kukamilisha majadiliano mradi wa LNG mwaka 2024-25

Kukamilika kwa mradi huo kutaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi zinazochangia katika usalama wa nishati duniani.

Ashtakiwa kwa kujiteka ili apate mtaji Mwanza

Alijiteka ili kujipatia mtaji wa Sh5 milioni kutoka kwa ndugu na marafiki zake wakaribu.

Bajeti ya Wizara ya Nishati Tanzania yapungua kwa Sh1.1 trilioni

Bajeti iliyoombwa kwa mwaka ujao wa fedha ni Sh1.88 trillioni kutoka Sh3 trilioni iliyoidhinishwa katika mwaka wa fedha 2023/24.

Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Aprili 24, 2024

Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Aprili 24, 2024

Bomoa bomoa Mwanza: zaidi ya 30 wakosa makazi

Ubomoaji huo umefanyika katika kiwanja namba 585 (PB) kitalu 'KK' kilichopo Nyakato jijini Mwanza.

Afya & Maisha

Chati & Data

Maoni & Uchambuzi

NuktaFakti

  • Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’

    Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.

Safari