Jumatano, Aprili 24, 2024
Kukamilika kwa mradi huo kutaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi zinazochangia katika usalama wa nishati duniani.
Alijiteka ili kujipatia mtaji wa Sh5 milioni kutoka kwa ndugu na marafiki zake wakaribu.
Bajeti iliyoombwa kwa mwaka ujao wa fedha ni Sh1.88 trillioni kutoka Sh3 trilioni iliyoidhinishwa katika mwaka wa fedha 2023/24.
Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Aprili 24, 2024
Ubomoaji huo umefanyika katika kiwanja namba 585 (PB) kitalu 'KK' kilichopo Nyakato jijini Mwanza.
Ni kutonana na mvua za El Nino zinazoendelea kunyesha. Wakazi 1,114 waokolewa Rufiji. Nyumba 1,035 zabomolewa na 6,874 zazingirwa na maji.
Wasema ushindi huo utabadilisha maisha yao.
Ni pamoja na kuimarisha ustawi wa wanawake na kupunguza athari za kiafya. Wadau wa nishati waja na mpango kuongeza usawa wa nishati nchini.
Tanzania's recent strides in the mining sector, under the visionary leadership of President Dr. Samia Suluhu Hassan, have set a new standard for the African continent and beyond.
Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.
Scientists and local and international conservationists have sounded the alarm that the Lake Manyara tilapia population is fading due to overfishing and pollution
Yasema ubovu wa barabara ulikwamisha baadhi ya shughuli za utalii.
Asema ni miongoni mwa maeneo ambayo Serikali inafanya uwekezaji mkubwa kwa kasi